Mwa. 15:1 Swahili Union Version (SUV)

Baada ya mambo hayo neno la BWANA likamjia Abramu katika njozi, likinena, Usiogope, Abramu, Mimi ni ngao yako, na thawabu yako kubwa sana.

Mwa. 15

Mwa. 15:1-3