Mk. 2:16 Swahili Union Version (SUV)

Na waandishi na Mafarisayo walipomwona anakula pamoja na watoza ushuru na wenye dhambi, waliwaambia wanafunzi wake, Mbona anakula pamoja na watoza ushuru na wenye dhambi?

Mk. 2

Mk. 2:15-20