Mk. 2:15 Swahili Union Version (SUV)

Hata alipokuwa ameketi chakulani nyumbani mwake, watoza ushuru wengi na wenye dhambi waliketi pamoja na Yesu na wanafunzi wake; kwa maana walikuwa wengi wakimfuata.

Mk. 2

Mk. 2:11-17