63. Kuhani Mkuu akararua nguo zake, akisema, Tuna haja gani tena ya mashahidi?
64. Mmesikia kufuru yake; mwaonaje ninyi? Wote wakamhukumu kuwa imempasa kuuawa.
65. Wengine wakaanza kumtemea mate, wakamfunika uso, na kumpiga makonde, na kumwambia, tabiri. Hata watumishi nao wakampiga makofi.
66. Na Petro alikuwa chini behewani; akaja mmoja wa vijakazi wa Kuhani Mkuu,