Mk. 15:1 Swahili Union Version (SUV)

Mara kulipokuwa asubuhi wakuu wa makuhani walifanya shauri pamoja na wazee na waandishi na baraza nzima, wakamfunga Yesu, wakamchukua, wakamleta mbele ya Pilato.

Mk. 15

Mk. 15:1-3