Mit. 8:33-35 Swahili Union Version (SUV)

33. Sikieni mafundisho, mpate hekima,Wala msiikatae.

34. Ana heri mtu yule anisikilizaye,Akisubiri sikuzote malangoni pangu,Akingoja penye vizingiti vya milango yangu.

35. Maana yeye anionaye mimi aona uzima,Naye atapata kibali kwa BWANA.

Mit. 8