12. Humtendea mema wala si mabaya,Siku zote za maisha yake.
13. Hutafuta sufu na kitani;Hufanya kazi yake ya mikono kwa moyo.
14. Afanana na merikebu za biashara;Huleta chakula chake kutoka mbali.
15. Tena huamka, kabla haujaisha usiku;Huwapa watu wa nyumbani mwake chakula;Na wajakazi wake sehemu zao.