Mit. 28:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Waovu hukimbia wasipofuatiwa na mtu;Bali wenye haki ni wajasiri kama simba.

2. Kwa sababu ya maasi ya nchi wakuu wake huwa wengi;Bali kwa wenye ufahamu na maarifa hali ya nchi hudumishwa

3. Mtu mhitaji awaoneaye maskini,Ni kama mvua ya dhoruba isiyosaza chakula.

Mit. 28