Mit. 14:28-30 Swahili Union Version (SUV)

28. Utukufu wa mfalme ni wingi wa watu wake;Bali uchache wa watu ni uharibifu wa mkuu wao.

29. Asiye mwepesi wa hasira ana fahamu nyingi;Bali mwenye roho ya hamaki hutukuza upumbavu.

30. Moyo ulio mzima ni uhai wa mwili;Bali husuda ni ubovu wa mifupa.

Mit. 14