28. Utukufu wa mfalme ni wingi wa watu wake;Bali uchache wa watu ni uharibifu wa mkuu wao.
29. Asiye mwepesi wa hasira ana fahamu nyingi;Bali mwenye roho ya hamaki hutukuza upumbavu.
30. Moyo ulio mzima ni uhai wa mwili;Bali husuda ni ubovu wa mifupa.