24. Mkono wa mwenye bidii utatawala;Bali mvivu atalipishwa kodi.
25. Uzito katika moyo wa mtu huuinamisha;Bali neno jema huufurahisha.
26. Mwenye haki ni kiongozi cha mwenzake;Bali njia ya wasio haki huwakosesha.
27. Mtu mvivu hapiki mawindo yake;Bali mwenye bidii anazo mali za thamani.