Mit. 10:28-31 Swahili Union Version (SUV)

28. Matumaini yao wenye haki yatakuwa furaha;Bali kutaraji kwao wasio haki kutapotea.

29. Njia ya BWANA ni kimbilio lake mtu mkamilifu;Bali ni uharibifu kwao watendao maovu.

30. Mwenye haki hataondolewa milele;Bali wasio haki hawatakaa katika nchi.

31. Kinywa cha mwenye haki hutoa hekima;Bali ulimi wa ukaidi utakatiliwa mbali.

Mit. 10