Mdo 28:27 Swahili Union Version (SUV)

Kwa maana mioyo ya watu hawa imepumbaa,Na masikio yao ni mazito ya kusikia,Na macho yao wameyafumba;Wasije wakaona kwa macho yao,Na kusikia kwa masikio yao,Na kufahamu kwa mioyo yao,Na kubadili nia zao, nikawaponya.

Mdo 28

Mdo 28:17-31