Kut. 4:20 Swahili Union Version (SUV)

Basi Musa akamchukua mkewe na wanawe, na kuwapandisha juu ya punda, naye akarudi mpaka nchi ya Misri; na Musa akaichukua ile fimbo ya Mungu mkononi mwake.

Kut. 4

Kut. 4:12-21