Kum. 30:3 Swahili Union Version (SUV)

ndipo BWANA, Mungu wako, atakapougeuza utumwa wako, naye atakuhurumia, tena atarejea na kukukusanya kutoka mataifa yote, huko alikokutawanyia BWANA, Mungu wako.

Kum. 30

Kum. 30:1-7