Kum. 16:18 Swahili Union Version (SUV)

Weka waamuzi na maakida katika malango yako yote akupayo BWANA, Mungu wako, kwa hesabu ya kabila zako; nao wawaamue watu kwa maamuzi ya haki.

Kum. 16

Kum. 16:13-22