Kum. 12:3 Swahili Union Version (SUV)

nanyi zivunjeni madhabahu zao, zibomoeni nguzo zao, na maashera yao yateketezeni kwa moto, na sanamu za kuchonga za miungu yao zikateni; na jina lao lifutilieni mbali na mahali hapo.

Kum. 12

Kum. 12:1-13