Isa. 6:1 Swahili Union Version (SUV)

Katika mwaka ule aliokufa mfalme Uzia nalimwona Bwana ameketi katika kiti cha enzi, kilicho juu sana na kuinuliwa sana, na pindo za vazi lake zikalijaza hekalu.

Isa. 6

Isa. 6:1-2