Isa. 55:2 Swahili Union Version (SUV)

Kwani kutoa fedha kwa ajili ya kitu ambacho si chakula?Na mapato yenu kwa kitu kisichoshibisha?Nisikilizeni kwa bidii, mle kilicho chema,Na kujifurahisha nafsi zenu kwa unono.

Isa. 55

Isa. 55:1-10