Isa. 47:13 Swahili Union Version (SUV)

Umechoka kwa wingi wa mashauri yako; basi, na wasimame hao wajuao falaki, wazitazamao nyota, watabirio kila mwezi mambo ya mwezi huo, wakakuokoe na mambo yatakayokupata.

Isa. 47

Isa. 47:7-15