Isa. 47:11 Swahili Union Version (SUV)

Kwa sababu hiyo ubaya utakupata; wala hutajua kutopoa kwake; na msiba utakuangukia; hutaweza kuuondoa; na ukiwa utakupata kwa ghafula, usioujua.

Isa. 47

Isa. 47:5-15