Isa. 44:5 Swahili Union Version (SUV)

Mmoja atasema, Mimi ni wa BWANA; na mwingine atajiita kwa jina la Yakobo; na mwingine ataandika juu ya mkono wake, Kwa BWANA, na kujiita kwa jina la Israeli.

Isa. 44

Isa. 44:2-15