Isa. 40:6-8 Swahili Union Version (SUV)

6. Sikiliza, ni sauti ya mtu asemaye, Lia!Nikasema,Nilie nini? Wote wenye mwili ni majani,Na wema wake wote ni kama ua la kondeni;

7. Majani yakauka, ua lanyauka;Kwa sababu pumzi ya BWANA yapita juu yake.Yakini watu hawa ni majani.

8. Majani yakauka, ua lanyauka;Bali neno la Mungu wetu litasimama milele.

Isa. 40