Isa. 39:8 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo Hezekia akamwambia Isaya, Neno la BWANA ulilolinena ni jema. Tena akamwambia, Maana itakuwapo amani na kweli katika siku zangu mimi.

Isa. 39

Isa. 39:2-8