Isa. 38:21-22 Swahili Union Version (SUV)

21. Maana Isaya amesema, Na watwae mkate wa tini, wakauweke juu ya jipu, naye atapona.

22. Tena Hezekia alikuwa amesema, Iko ishara gani ya kunionyesha ya kuwa nitapanda niingie nyumbani mwa BWANA?

Isa. 38