Isa. 39:1 Swahili Union Version (SUV)

Wakati huo Merodaki-baladani, mwana wa Baladani, mfalme wa Babeli, alipeleka barua na zawadi kwa Hezekia; kwa maana amepata habari kwamba amekuwa hawezi, na kwamba amepona.

Isa. 39

Isa. 39:1-8