Isa. 38:17 Swahili Union Version (SUV)

Tazama; nalikuwa na uchungu mwingi kwa ajili ya amani yangu;Lakini kwa kunipenda umeniokoa na shimo la uharibifu;Kwa maana umezitupa dhambi zangu zote nyuma yako.

Isa. 38

Isa. 38:15-22