Isa. 33:1 Swahili Union Version (SUV)

Ole wako uharibuye ila hukuharibiwa, utendaye hila wala hukutendwa hila! Utakapokwisha kuharibu, utaharibiwa wewe; na utakapokwisha kutenda kwa hila, wao watakutenda hila wewe.

Isa. 33

Isa. 33:1-6