Isa. 25:8 Swahili Union Version (SUV)

Amemeza mauti hata milele; na Bwana MUNGU atafuta machozi katika nyuso zote; na aibu ya watu wake ataiondoa katika ulimwengu wote; maana BWANA amenena hayo.

Isa. 25

Isa. 25:2-11