Isa. 22:5 Swahili Union Version (SUV)

Kwa maana siku ya kutaabika, siku ya kukanyagwa, siku ya fujo inakuja, itokayo kwa Bwana, BWANA wa majeshi, katika bonde la Maono; inabomoa kuta; na kuililia milima.

Isa. 22

Isa. 22:1-9