Isa. 19:23 Swahili Union Version (SUV)

Katika siku hiyo itakuwako njia kuu itokayo Misri na kufika hata Ashuru; Mwashuri atafika Misri, na Mmisri atafika Ashuru, na Wamisri wataabudu pamoja na Waashuri.

Isa. 19

Isa. 19:15-25