Isa. 10:7 Swahili Union Version (SUV)

Lakini hivyo sivyo akusudiavyo mwenyewe, wala sivyo moyo wake uwazavyo; maana katika moyo wake akusudia kuharibu, na kukatilia mbali mataifa, wala si mataifa machache.

Isa. 10

Isa. 10:1-12