Ezr. 9:5 Swahili Union Version (SUV)

Na wakati wa sadaka ya jioni nikainuka baada ya kunyenyekea kwangu, nguo yangu na joho yangu zimeraruliwa, nikaanguka magotini nikakunjua mikono yangu mbele za BWANA, Mungu wangu;

Ezr. 9

Ezr. 9:1-13