Ezr. 9:4 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo wakanikusanyikia watu wote walioyatetemekea maneno ya Mungu wa Israeli, kwa sababu ya lile kosa la watu wa uhamisho; nami nikaketi kwa mshangao hata wakati wa sadaka ya jioni.

Ezr. 9

Ezr. 9:1-7