Ezr. 7:11 Swahili Union Version (SUV)

Basi hii ndiyo nakala ya waraka, mfalme Artashasta aliyompa Ezra, kuhani, mwandishi, naam, mwandishi wa maneno ya amri za BWANA, na wa sheria zake alizowapa Israeli.

Ezr. 7

Ezr. 7:1-13