Ezr. 4:10 Swahili Union Version (SUV)

na mabaki ya mataifa, ambao Asur-bani-pali mkuu, mwenye heshima, aliwavusha, na kuwakalisha katika mji wa Samaria, na mahali penginepo, ng’ambo ya Mto; wakadhalika.

Ezr. 4

Ezr. 4:1-17