39. na Shelemia, na Nathani, na Adaya,
40. na Maknadebai, na Shashai, na Sharai,
41. na Azareli, na Shelemia, na Shemaria,
42. na Shalumu, na Amaria, na Yusufu.
43. Na wa wana wa Nebo; Yeieli, na Matithia, na Zabadi, na Zebina, na Ido, na Yoeli, na Benaya.
44. Hao wote walikuwa wameoa wanawake wageni; na wake zao wengine walikuwa wamezaa watoto.