Ezr. 10:36-44 Swahili Union Version (SUV)

36. na Wania, na Meremothi, na Eliashibu,

37. na Matania, na Matenai, na Yaasu.

38. Na wa wana wa Binui; Shimei,

39. na Shelemia, na Nathani, na Adaya,

40. na Maknadebai, na Shashai, na Sharai,

41. na Azareli, na Shelemia, na Shemaria,

42. na Shalumu, na Amaria, na Yusufu.

43. Na wa wana wa Nebo; Yeieli, na Matithia, na Zabadi, na Zebina, na Ido, na Yoeli, na Benaya.

44. Hao wote walikuwa wameoa wanawake wageni; na wake zao wengine walikuwa wamezaa watoto.

Ezr. 10