Ezr. 10:28-44 Swahili Union Version (SUV)

28. Na wa wana wa Bebai; Yehohanani, na Hanania, na Zakai, na Athlai.

29. Na wa wana wa Bani; Meshulamu, na Maluki, na Adaya, na Yashubu, na Sheali, na Yeremothi.

30. Na wa wana wa Pahath-Moabu; Adna, na Kelali, na Benaya, na Maaseya, na Matania, na Besaleli, na Binui, na Manase.

31. Na wa wana wa Harimu; Eliezeri, na Ishiya, na Malkiya, na Shemaya, na Shimeoni,

32. na Benyamini, na Maluki, na Shemaria.

33. Na wa wana wa Hashumu; Matenai, na Matata, na Zabadi, na Elifeleti, na Yeremai, na Manase, na Shimei.

34. Na wa wana wa Bani; Maadai, na Amramu, na Ueli,

35. na Benaya, na Bedeya, na Keluhi,

36. na Wania, na Meremothi, na Eliashibu,

37. na Matania, na Matenai, na Yaasu.

38. Na wa wana wa Binui; Shimei,

39. na Shelemia, na Nathani, na Adaya,

40. na Maknadebai, na Shashai, na Sharai,

41. na Azareli, na Shelemia, na Shemaria,

42. na Shalumu, na Amaria, na Yusufu.

43. Na wa wana wa Nebo; Yeieli, na Matithia, na Zabadi, na Zebina, na Ido, na Yoeli, na Benaya.

44. Hao wote walikuwa wameoa wanawake wageni; na wake zao wengine walikuwa wamezaa watoto.

Ezr. 10