Eze. 47:3 Swahili Union Version (SUV)

Na alipotoka mtu yule, mwenye uzi wa kupimia mkononi mwake, kwenda masharikini, akapima dhiraa elfu, akanivusha maji yale; maji yakafika mpaka viweko vya miguu.

Eze. 47

Eze. 47:1-7