Eze. 46:22 Swahili Union Version (SUV)

Katika pembe nne za ua huo palikuwa na viwanja vilivyoungana, urefu wake dhiraa arobaini, na upana wake thelathini; viwanja hivyo vinne vya pembeni vilikuwa vya kipimo kimoja.

Eze. 46

Eze. 46:18-24