Eze. 43:1-2 Swahili Union Version (SUV)

1. Kisha akanileta mpaka langoni, yaani, lango lile lielekealo upande wa mashariki;

2. na tazama, huo utukufu wa Mungu wa Israeli ulitokea kwa njia ya mashariki; na sauti yake ilikuwa kama mshindo wa maji mengi, nayo nchi iling’aa kwa utukufu wake.

Eze. 43