Ebr. 4:2 Swahili Union Version (SUV)

Maana ni kweli, sisi nasi tumehubiriwa habari njema vile vile kama hao. Lakini neno lile lililosikiwa halikuwafaa hao, kwa sababu halikuchanganyika na imani ndani yao waliosikia.

Ebr. 4

Ebr. 4:1-7