Dan. 10:7 Swahili Union Version (SUV)

Nami, Danieli, nikaona maono haya peke yangu; maana wale watu waliokuwa pamoja nami hawakuyaona maono haya; lakini tetemeko kuu liliwashika, hata wakakimbia ili kujificha.

Dan. 10

Dan. 10:1-8