4. Kwamba watoto wako wamemfanyia dhambi,Naye amewatia mkononi mwa kosa lao;
5. Wewe ukimtafuta Mungu kwa bidii,Na kumsihi huyo Mwenyezi;
6. Ukiwa wewe u safi na mwelekevu;Hakika yeye sasa angeamka kwa ajili yako,Na kuyafanya makazi ya haki yako kufanikiwa.