Ayu. 8:4-6 Swahili Union Version (SUV)

4. Kwamba watoto wako wamemfanyia dhambi,Naye amewatia mkononi mwa kosa lao;

5. Wewe ukimtafuta Mungu kwa bidii,Na kumsihi huyo Mwenyezi;

6. Ukiwa wewe u safi na mwelekevu;Hakika yeye sasa angeamka kwa ajili yako,Na kuyafanya makazi ya haki yako kufanikiwa.

Ayu. 8