Ayu. 29:18-20 Swahili Union Version (SUV)

18. Ndipo niliposema, Nitakufa ndani ya kioto changu,Nami nitaziongeza siku zangu kama mchanga;

19. Shina langu limeenea hata kufika majini,Na umande hukaa usiku kucha katika matawi yangu;

20. Utukufu wangu utakuwa mpya kwangu,Na uta wangu hurejezwa upya mkononi mwangu.

Ayu. 29