8. Au nena na nchi, nayo itakufundisha;Nao samaki wa baharini watakutangazia.
9. Katika hawa wote ni yupi asiyejua,Kwamba ni mkono wa BWANA uliofanya haya?
10. Ambaye nafsi ya kila kilicho hai i mkononi mwake,Na pumzi zao wanadamu wote.
11. Je! Sikio silo lijaribulo maneno,Kama vile kaakaa lionjavyo chakula?