Amu. 20:32 Swahili Union Version (SUV)

Wana wa Benyamini wakasema, Wamepigwa mbele yetu kama kwanza. Lakini wana wa Israeli wakasema, Haya, na tukimbie, na kuwavuta wauache mji waende katika njia kuu.

Amu. 20

Amu. 20:25-36