Amu. 20:17 Swahili Union Version (SUV)

Nao watu wa Israeli, mbali na hao wa Benyamini, walihesabiwa kuwa ni watu waume mia nne elfu, wenye kutumia upanga; hao wote walikuwa ni watu wa vita.

Amu. 20

Amu. 20:10-18