Amu. 15:14 Swahili Union Version (SUV)

Alipofika Lehi, Wafilisti wakapiga kelele walipokutana naye; ndipo roho ya BWANA ikamjia kwa nguvu, na zile kamba zilizokuwa juu ya mikono yake zikawa kama kitani iliyoteketezwa kwa moto, na vile vifungo vyake vikaanguka mikononi mwake.

Amu. 15

Amu. 15:6-19