Amu. 15:13 Swahili Union Version (SUV)

Wakamwambia, wakisema, Vema, lakini tutakufunga sana, na kukutia katika mikono yao; lakini hakika hatutakuua. Basi wakamfunga kwa kamba mbili mpya, wakamchukua kutoka huko jabalini.

Amu. 15

Amu. 15:6-19